Namna ya Kuchangia Redio Uhai Kutoka Katika Nchi Yoyote Duniani
Kama unataka kutuma fedha kuchangia huduma ya Redio Uhai ukiwa Tanzania, unaweza kutupa pesa yako kwa Meneja wa Radio Uhai kwa kutumia taarifa zifuatazo:-
Deusdedith Cosmas Kanunu
S.L. P. 691,
Tabora, Tanzania
Hapa kuna njia tatu pia za kutuma hela kuchangia huduma ya redio Uhai katika nchi ya Tanzania
Money Gram na Western Union ni njia nzuri zinazokuwezesha kutuma hela popote duniani
MoneyGram
https://secure.moneygram.com
Western Union
http://westernunion.com
Xpress Money
http://www.xpressmoney.com/
Baada ya kupata namba uliyotumia ama kwa MoneyGram, Western Union au Xpress Money,
Tafadhari tuma taarifa hizo ulizotumia katika kutuma fedha kwenye barua pepe zifuatazo
na
Unaweza kupiga redioni kwa namba zifuatazo kutoa taarifa ya namna ulivyotuma mchango wako kati ya njia hizo tatu MoneyGram, Western Union au Xpress Money:
+255-746-460-374
+255-783-893-434
If you want to contribute to Radio Uhai in Tanzania, you can send the money to Radio Uhai manager using the following information.
Deusdedith Cosmas Kanunu
P.O Box 691
Tabora, Tanzania
MoneyGram and Western Union are the best ways to send a donation to Radio Uhai. You may also try and send the money online by MoneyGram and Western Union. Here are three ways to send across to contribute to Radio Uhai in Tanzania.
MoneyGram
https://secure.moneygram.com
Western Union
http://westernunion.com
Xpress Money
http://www.xpressmoney.com/
After you have send your donation either by Money Gram, Western Union or Xpress Money, please send the control number to the following email address
deus.kanunu@gmail.com
You may also call Deusdedith Kanunu at these phone numbers.
+ 255-746-460-374
+255-783-893-434